Sunday, November 9, 2014

DJ JD na DJ FAST EDDIE WAFANIKIWA KUREJESHA MUZIKI WA DISKO KILELENI TENA

 DJ JD akiwa kazini katika ukumbi wa Isumba Lounge jijini Dar es salaam usuiku wa kuamkia leo. Yeye na DJ Fast Eddie wameweza kurejesha utamu wa wapenzi wa muziki kwenda disco kwa wingi kama ilivyokuwa enzi hizo. Hapo Isumba ni mambo ya Old Skul na Mayenu kwa kwenda mbele kila Ijumaa na Jumamosi ambapo vijana wa zamani na wapya huruka majoka hadi lyamba.
DJ JD akiwa kazini katika ukumbi wa Isumba Lounge jijini Dar es salaam usuiku wa kuamkia leo. Yeye na DJ Fast Eddie wameweza kurejesha utamu wa wapenzi wa muziki kwenda disco kwa wingi kama ilivyokuwa enzi hizo. Hapo Isumba ni mambo ya Old Skul na Mayenu kwa kwenda mbele kila Ijumaa na Jumamosi ambapo vijana wa zamani na wapya huruka majoka hadi lyamba.

Mh. Lowassa azindua helkopta ya kanisa la ufufuo na uzima

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono waumini Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima,Kawe jijini Dar es Salaam leo.Picha zote na Othman Michuzi.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwasili kwenye viwanja vya kawe lilipo Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima leo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwa kwenye kwenye jukwaa kuu na mwenyeji wake,Ambaye ni Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Josephat Gwajima (kushoto),Kawe jijini Dar es Salaam leo.Wengine pichani ni Askofu Eliud Isanje (wa pili kulia) na Mchungaji Elifuraha Laswai (kulia).
Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Mchungaji Josephat Gwajima akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Helkopta iliyonunuliwa na Mchungaji huo kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwahutubia waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima,wakati alipokuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa Helkopta itakayotumiwa na Mchungaji huyo katika kazi zake za kiroho,hafla hiyo imefanyika leo kwenye viwanja vya Kawe,Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akijadiliana jambo na baadhi ya wachungaji waliohudhulia kwenye hafla hiyo.
wakielekea kwenye uzinduzi rasmi wa Helkopta.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Helkopta ya Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (kulia kwa Mh. Lowassa).
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mtoto wa Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiiingia ndani ya Helkopta hiyo kuashiria kuizindua rasmi kwa safari mbali mbali za kihuduma ya kiroho,itakayotumiwa na Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima.
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiteta jambo na rubani wa Helkopta hiyo muda mfupi baada ya kuizindua.
Helkopta iliyozinduliwa ikipaa kuondoka uwanjani hapo na baadae kurudu mara baada ya kuzinduliwa na Mh. Lowassa.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akimsikiliza kwa makini Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima wakati akimuelezea kuhusu vitabu vyake alivyoviandika kabla ya kuvizindua rasmi.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikata utepe kwenye vitabu viliyoandikwa na Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (kushoto)
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akionyesha moja ya vitabu viliyoandikwa na Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (kushoto) wakati alipovizindua rasmi leo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono waumini Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima,Kawe jijini Dar es Salaam leo.

Thursday, November 6, 2014

TUKUMBUKE UZINDUZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA (TBC) ULIOFANYIKA TAREHE MACHI 26,2008

Mwenyekiti mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akiongea na Sarah Dumba na mhe. Betty Mkwasa ambao ni watangazaji wa zamani wa TBC.
Rais JK akimpongeza Muhidin Maalim Gurumo wa Msondo kwa kuwa mmoja wa wadau wakubwa wa redio na tv za Taifa toka mwaka 1964 alipoanza kuimbia Msondo Ngoma.
Mkurugenzi mkuu wa TBC, Tido Mhando akiwakaribisha aliyekuwa mkurugenzi wa TBS kabla haijaitwa TBC, mzee Samwillu Mwafisi (kati) na mzee Mshindo Mkeyenge kwenye sherehe hizo.Watangazaji nyota wa zamani wa TBC mhe. Betty Mkwasa, Sango Kipozi na Ahmed Kipozi wakiwasili kwenye sherehe.
Mkurugenzi mtendaji wa IPP, Regnard Mengi akizungumza na mkurugenzi mkuu wa TBC, Tido Mhando.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo mhe. Mwantumu Mhizza akipokewa na Eshe Muhidin.
Mtangazaji machachari Juma Nkhamia (pili kulia, mbele) na watangazaji wenzie mahiri wa TBC.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria sherehe hizo za uzinduzi wa TBS akiwemo mkurugenzi mtendaji wa IPP, Regnard Mengi pamoja na mabalozi wa nchi mbali mbali.Rais JK akihutubia katika sherehe hizo.
Rais JK akizindua nembo ya TBC ambapo kauli mbiu yao ni Ukweli na Uhakika. 
Nembo mpya yab TBC.
Mc wa shughuli alikuwa mkurugenzi wa utangazaji na matukio wa TBC, Suzzane Mongi.Mwanga Kirahi (kushoto) ambaye ni mmoja wa maprodyuza wa TBC akiwa na mtangazaji Swedi Mwinyi.
Rais JK na mama Salma pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo mh. George Mkuchika wakiwa na wafanyakazi wa TBC.Chama la Sports likifurahia jambo kutoka kulia ni Enock Bwigane, Evance Mhando, Juma Nkhamia, Creford Ndimbo pamoja na Baluani Muuza.

Grew ya baadhi ya watangazaji wa TBC ambapo kutoka kulia wa pili ni Nazareth Ndekia mtangazaji wa TBC-FM, Eshe Muhidin mtangazaji wa TBC-Taifa, Evance Mhando, Creford Ndimbo, Baluani Muuza pamoja na huyo bibie ambaye jina lake halikupatikana.

Tuesday, October 28, 2014

CHEDI BENZI AKOSA DHAMANA, KUSOTA SEGEREA


Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi Benzi’ akisindikizwa na askari Polisi wakati akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini leo Dar es Salaam kujibu mashtaka matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
 Msanii wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi Benzi’ akiingia Mahakamani leo.
 Chidi Benzi akiwa chini ya ulinzi wa askari Polisi.
Msanii wa Hip Hop, Rshid Makwiro ‘Chidi Benzi’ akisindikizwa na askari Polisi wakati akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kujibu mashtaka matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. 
 Chidi Benzi akipanda karandinga kwa ajili ya kuelekea mahabusu ya Segerea.

Na Mwandishi Wetu

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benzi’ leo amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka matatu likiwemo la matumizi ya dawa za kulevya.

Chid Benzi, alipandishwa kizimbani majira ya saa nane mchana, mbele ya Hakimu Warialwande Lema, ambaye alimtaka msanii huyo atolewe nje kutokana na uvaaji mbaya wa suruali yake kwani alivaa ‘Kata kei’ ili avae vizuri nguo.

Akisomewa mashitaka yake, na Wakili wa Serikali Mwanaamina Kombakono, alidai kwamba mnamo 24 Oktoba 2014, Chidi Benzi alikutwa na dawa hizo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Alidai kwamba, shitaka la kwanza linalomkabili ni kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya sh.38, 638. Pia shitaka la pili ni kukutwa na gramu 1.72 za dawa kulevya aina ya Bangi yenye thamani 1,720.

Mbali na hilo, shitaka la tatu ni kukutwa na vifaa vinavyotumika kuvutia dawa hizo za kulevya, ambapo alikutwa na Kifuu cha nazi kitupu na kijiko kimoja.

Hata hivyo, wakili huyo alidai kwamba upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika. Hakimu Lema alihairisha kesi hiyo hadi Novemba 11, mwaka huu baada wadhamini kushindwa kujitokeza kwa haraka.

Hakimu Lema alisema, mshitakiwa huyo anatakiwa kudhaminiwa na wadhamini wawili wa kudumu pamoja na bonfdi ya Sh.milioni 1.

Hali hiyo ya kushindwa kupata dhamana ilizua hali ya simanzi kwa familia yake, kutokana na kuchelewa kujitokeza kwa wadhamini wake mbele ya Hakimu na hivyo kushindwa kupata dhamana.

Chidi Benzi alikamatwa na dawa za kulevya katika hatua ya ukaguzi kwaajili ya kupanda ndege ya Fastjet akielekea jijini Mbeya, juzi jioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Monday, October 27, 2014

KATUNI ZETU

Mpanda PUNDA

Poro-MOTA
GOLF
MBUZI

Friday, August 22, 2014

LIVERPOOL WANT MARIO BALOTELLI TO SIGN A GOOD-CONDUCT CLAUSE TO SEAL £16MILLION ANFIELD MOVE

History: Balotelli has a history of weird and wacky incidents on and off the football pitch

The controversial striker is expected to seal a move to Anfield and has aleready said his goodbyes to AC Milan team-mates


Liverpool will only sign Mario Balotelli if the player agrees to conduct clauses in his contract.
A £16million fee was agreed with AC Milan for the striker yesterday, but sources close to Brendan Rodgers suggest there are still some “significant hurdles” to overcome in talks, even though the financial terms have already largely been agreed.
We understand only if the representatives agree to stringent clauses relating to Balotelli’s behaviour will Rodgers even meet the player, who flew into the city last night after saying his goodbyes to staff and players at Milan’s training ground.
A statement on the Milanese club’s website read: “Mario Balotelli drove out of Milanello at 13.30 after saying good-bye to his team-mates and the club’s press staff.”
However, only after the striker and his agent Mino Raiola accept tough proposals over his conduct will the deal progress.
READ MORE >>>>>>>>